Nao Manchester United wameingia
robo fainali ya ya UEFA Europa League baada ya kuifunga FC Rostov bao 1-0 katika mechi ya pili iliyochezwa Old
Trafford Jijini Manchester.
Bao la
ushindi la Man United lilifungwa
Dakika ya 70 na Juan Mata na sasa
wametinga Robo Fainali kwa Jumla ya Bao 2-1 baada ya Sare ya 1-1 kwenye Mechi
ya Kwanza.
|
Droo ya
kupanga Mechi za Robo Fainali itafanyika Saa 9 Mchana huu wa Leo Ijumaa March
17,2017 huko Nyon, Uswisi kwenye Makao Makuu ya UEFA.
Mechi za
Robo Fainali zitachezwa Aprili 13 na Marudio ni Aprili 20,2017.
Robo Fainali
– Timu zilizofuzu.
-Besiktas
-Celta Vigo
-KRC Genk
-Man United
-Schalke
-Lyon
-Anderlecht
-Ajax
|
No comments:
Post a Comment