Rais Conde
anapokea uongozi kwa Rais wa Chad Idris Deby ambaye alikuwa ndiye kiongozi wa
umoja wa hadi.
Mwenyekiti
wa Umoja wa Afrika ni kiongozi asiye na maamuzi (ceremonial head of the Union).
Mwenyekiti huyu huchaguliwa na Marais wa
Nchi wanachama wa AU ambaye hushika wadhifa huo kwa mwaka mmoja tu.
Uongozi huu
huenda wa zamu katika Kanda tano za bara la Afrika (Kaskazini, Kusini,
Mashariki, Magharibi, na Afrika ya Kati).
Nafasi hii
ilianzishwa mwaka 2002 ambayo Rais Mstaafu wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki ndiye
alikuwa mwenyekiti wa kwanza.
|
Tuesday, January 31, 2017
Rais wa Guinea achaguliwa kuwa Mwenyekiti Mpya wa Umoja wa Afrika (AU)
Tags
# HABARI
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment