Baada ya
kufanya mazungumzo hayo, meli yenye magari hayo 600 ilitia nanga katika bandari
ya Mtwara ambapo ndipo kiwanda cha Saruji cha Dangote kilipo.
Aidha,
imeelezwa kuwa wiki ijayo meli nyingine kutoka Korea Kusini yenye malori 451
inatrajiwa kuwasili katika bandari ya mkoani Mtwara.
Hapa chini
ni picha ya meli hiyo ikiwa bandarini Mtwara.
|
Sunday, December 11, 2016
Taswira Picha Meli yenye Malori 600 ya Kiwanda cha Dangote yawasili Mkoani Mtwara.
Tags
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Labels:
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment