Tuzo hizo
zilizoandaliwa na East Africa Television Ltd, zimekuwa za kwanza Afrika
Mashariki, ambapo wasanii mbali mbali wamefanikiwa kujinyakulia tuzo zao.
Tazama orodha nzima ya washindi hapa
chini..
Kipengele
cha mwanamuziki bora wa Kiume.
G Nako –
'Original'
Sheta
–'Namjua'
Mwana FA –
'Ahsanteni kwa Kuja'
Alikiba – 'Aje' --- MSHINDI
Ben Pol –
'Moyo Mashine'
Mwana muziki
bora wa Kike.
Lilian
Mbabazi – 'Yoola'
Ruby –
'Forever'
Lady Jay dee – 'Ndindindi' ---
MSHINDI
Linah – 'No
stress'
Vanessa Mdee
– 'Niroge'
Mwanamuziki
bora Chipukizi.
Manfongo – 'Hainaga ushemeji' ---
MSHINDI
Feza Kessy –
'Sanuka'
Rukia Jumbe
(Ruky Baby) – 'Mpasuo'
Bright –
'Nitunzie'
Mayunga –
'Nice couple'
Kundi bora
la Mwaka.
Navy kenzo – 'Kamatia chini'---
MSHINDI
Mashauzi
Clasic - 'Kismat'
Team Mistari
– 'Tuzidi'
Sauti Sol –
'Unconditional bae'
Wakali wao –
'Chozi langu utalilipa'
Video bora
ya Mwaka.
Njogereza –
Navio
Namjua –
Shetta
Aje – Alikiba -- MSHINDI
Don't Bother
– Joh Makini
Ndindindi –
Lady Jaydee
Wimbo bora
wa Mwaka.
Don't bother
– Joh Makini
Ndindindi -
Lady Jayedee
Kamatia
chini - Navy Kenzo
Moyo mashine
– Ben Pol
Aje – Alikiba --- MSHINDI
Filamu bora
ya Mwaka.
Facebook
profile
Safari
ya Gwalu --- MSHINDI
Mfadhili
wangu
Hii ni laana
Nimekosea
wapi
Muigizaji
bora wa Kiume.
Meya Shabani
Khamisi
Salim Ahmed (Gabo) --- MSHINDI
Daudi
Machael (Duma)
Doto Hussein
Matotola
Said Mkukila
Muigizaji
bora wa Kike.
Chuchu Hansy --- MSHINDI
Rachel
Bithulo
Frida Kajala
Masanja
Khadija Ally
TUZO YA
HESHIMA.
DJ Maarufu
bongo Boniventure Kilossa (Dj Bonny Love) ndiye mtu aliyepewa tuzo maalum ya
heshima, akitambuliwa kutokana na mchango wake kwenye tasnia ya sanaa hapa
nchini
|
No comments:
Post a Comment