Jumatatu September 12,2016,Ligi kuu
Tanzania bara imeendelea kwa mchezo mmoja kati ya African Lyon dhidi ya Mbao FC
mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Uhuru na Afrikca Lyon imefanikiwa kuibuka na
ushindi wa magoli 3-1 kwa mara ya kwanza baada ya kutoka sare katika michezo
yao mitatu tangu kuanza kwa ligi msimu huu.
Mbao FC inasubiri kucheza na Ruvu
Shooting kabla ya kuifuata Mtibwa Sugar Manungu Complex, Tutiani mkoani
Morogoro kisha watasafiri kurejea mkoani kwao Mwanza.
Kabla ya ushindi wa leo, Lyon ilitoka
sare ya 1-1 dhidi ya Azam FC kwenye mchezo wa kwanza wa ligi, ikafungwa 3-0 na
Yanga SC halafu ikatoka 0-0 na Ruvu JKT.
|
Monday, September 12, 2016
Home
MICHEZO
Ligi Kuu Vodacom 2016/2017 - African Lyon yainyuka 3-1 Mbao FC na huu Ndio Msimamo wa Ligi….Utazame Hapa.
Ligi Kuu Vodacom 2016/2017 - African Lyon yainyuka 3-1 Mbao FC na huu Ndio Msimamo wa Ligi….Utazame Hapa.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment