Picha zinaonesha maji kujaa kwenye
makazi ya watu huku mali zao zikiwa zinaelea yakiwemo magari na wengine wakibebana
ili kuvuka kutoka eneo moja kwenda jingine.
Mvua hizo zilianza kunyesha tangu
Jumatatu iliyopita na imesababisha maafa makubwa sambamba na kuahirishwa kwa
mechi ya mahasimu wawili wa Jiji la Manchester Uingereza, Manchester United na
Manchester City kutokana na uwanja kujaa maji. Mechi ilitarajiwa kuchezwa usiku
wa kuamkia Jana Jumatatu.
|
Tuesday, July 26, 2016
TASWIRA PICHA BEIJING CHINA:- Mvua yaua Watu 200 huku Milioni 16 wakosa Makazi.
Tags
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Labels:
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment