Baadhi ya Sokwe mtu
walioonekana kwa mbaali sana wakiwa katika miti katika Hifadhi ya Taifa ya
Gombe iliyopo Mkoani Kigoma nchini Tanzania.
|
Nyani ni miongoni mwa
wanyama wanaoonekana kwa urahisi katika Hifadhi ya Taifa ya Gombe.
|
Eneo mojawapo
linalotumiwa na wavuvi katika mwambao mwa ziwa Tanganyika jirani na Hifadhi ya
taifa ya Gombe.
|
No comments:
Post a Comment