Kwa mujibu wa Ratiba ya
Ligi Kuu iliyotolewa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) leo,July 19, 2016
michuano hiyo itaanza Agosti 20 kwa mechi saba kuchezwa kwenye viwanja tofauti,
ikitanguliwa na mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Azam na Yanga Agosti 17, mwaka
huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mechi za ufunguzi za
Ligi Kuu Agosti 20, Simba SC watacheza na Ndanda FC Uwanja wa Taifa, Dar es
Salaam, huku Azam wakiikaribisha African Lyon Uwanja wa Azam Complex, Chamazi,
Dar es Salaam.
|
Tuesday, July 19, 2016
Home
MICHEZO
RATIBA YA VPL 2016/2017 HADHARANI:-Ligi kuanza Agosti 20 huku mchezo wa Ngao ya Jamii ni Azam na Yanga Agosti 17, 2016.
RATIBA YA VPL 2016/2017 HADHARANI:-Ligi kuanza Agosti 20 huku mchezo wa Ngao ya Jamii ni Azam na Yanga Agosti 17, 2016.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment