![]() |
|
Jean Bosco
Nsengimana mwenye umri wa miaka 22 ameibuka mshindi wa mashindano ya Tour of
Rwanda2015.
Pia gwiji wa
mchezo huo Debesay Mekseb ,mwenye uraia wa Eritrea lakini akichezea timu ya
Bike Aid ya Ujerumani , licha ya kushinda awamu 4 kati ya awamu 7 za mashindano
hayo hakuweza kupangua dakika 3 ambazo wanyarwanda walimzidi.
Hii ni mara
ya pili mfululizo waendesha baiskeli hao kutoka Rwanda kunyakua taji kuu katika
mashindano hayo ya Tour of Rwanda yaliyoko kwenye kalenda ya mashindano ya mbio
za baiskeli barani Afrika yanayotambuliwa na shirikisho la dunia la mbio za
baiskeli.
Na:-BBC SWAHILI.
|
Monday, November 23, 2015
VIPAJI VYETU:-Rwanda ni mabingwa wa 'Tour of Rwanda 2015.'
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.







No comments:
Post a Comment