|
Kikundi cha
sanaa cha Jumping Village kikitoa burudani kwenye gulio la lililoandaliwa na
wake wa mabalozi lililofanyika Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (IST)
Masaki.
|
|
Mtoa huduma
wa Tigo, Khalid Omary akitoa huduma kwa wateja wa Tigo kwenye gulio
lililoandaliwa na wake wa mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini Tanzania
lenye lengo kusaidia jamii.
|
| Kikundi cha sanaa cha Jumping Village kikitoa burudani kwenye gulio la lililoandaliwa na wake wa mabalozi lililofanyika Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (IST) Masaki. |
| Papo kwa Papo >>>> Pata Picha, Habari za Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630. |





No comments:
Post a Comment