![]() |
|
Mshambuliaji
wa timu ya Taifa ya Tanzania, Elius Maguli akishangilia baada ya kufunga goli la
kwanza.
|
![]() |
|
Mbwana
Samatta akishangilia goli lake alilofunga dhidi ya Algeria.
Taifa Stars ilicheza mpira wa kasi na kufanikiwa
kupata goli la pili dakika ya 54 lililofungwa na Mbwana Samatta baada ya
kuichambua safu ya ulinzi ya Algeria kisha kufunga goli kwa ustadi wa hali ya
juu.
Dakika ya 71
kipindi cha pili, Slimani Islam alifunga goli la kwanza kabla ya kuisawazishia
Algeria dakika ya 74 goli lililotokana na kutoelewana kwa safu ya ulinzi ya
Taifa Stars na kutoa mwanya kwa Slimani kuisawazishia timu yake.
|
![]() |
![]() |
|
MATOKEO MECHI ZA KUFUZU KOMBE LA
DUNIA AFRIKA 2018.
Afrika-Raundi ya Pili
**Saa za Bongo
Jumatano Novemba 11,2015.
Mozambique 1 – 0 Gabon
Sudan 0 – 1 Zambia
Alhamisi Novemba 12,2015.
Burundi 2 – 3 DR Congo
Namibia 0 – 1 Guinea
Benin 2 – 1 Burkina Faso
Togo 0 – 1 Uganda
Morocco 2 – 0 Equatorial Guinea
Ijumaa Novemba 13,2015.
Madagascar
2 – 2 Senegal
Comoros
0 Ghana 0
Kenya
1 – 0 Cape Verde
Libya
1 – 0 Rwanda
Angola
1 – 3 South Africa
Niger
0 – 3 Cameroon
Liberia
0 – 1 Ivory Coast
Swaziland
0 - 0 Nigeria
Mauritania
1 – 2 Tunisia
Jumamosi Novemba 14,2015.
Ethiopia 3 - 4 Congo
Tanzania 2 -2 Algeria
Chad 1 – 0 Egypt
1700 Botswana v Mali
2000 Gabon v Mozambique
Jumapili Novemba 15,2015.
16:00 Zambia v
Sudan
16:00 Uganda v
Togo
17:30 Congo, DR v
Burundi
18:00 Equatorial Guinea v
Morocco
21:00 Guinea v Namibia
Jumanne Novemba 17,2015.
16:30 Rwanda v
Libya
17:00 Cameroon v Niger
17:30 Congo v
Ethiopia
18:00 Ghana v
Comoros
18:00 Nigeria v Swaziland
19:30 Egypt v Chad
20:00 Tunisia v Mauritania
20:00 South Africa v
Angola
20:00 Ivory Coast v
Liberia
21:00 Burkina Faso v
Benin
21:15 Algeria v Tanzania
22:00 Cape Verde v Kenya
22:00 Senegal v
Madagascar
22:00 Mali v Botswana
**Washindi kutinga hatua ya
Makundi.
|
![]() |











No comments:
Post a Comment