Sentensi ya pili >>> ‘Kumbukeni na mimi pia ni binaadam… nina moyo kama nyie… au
mnadhani napenda kuona wenzangu wana watoto au wana ujauzito alafu mimi sina
hata wa kusingiziwa… mnaona nafurahia sio…. hivi mna nini jamani… yaani mtu
unaweza weka post kwa nia nzuri then people jus come from nowea wanaanza
kukuandikia maneno ya kukuumiza kabisa nafsi hadi mtu unakaa unajiuliza
umemkosea nini mwenyezi Mungu‘
‘Kwani kuna niliemkosea yoyote
mpaka muanze tu kunikashif na kunitolea maneno mazito namna hio… Kisa mtoto…
mnadhani naipenda hii hali… hata mimi natamani kuitwa mama na hakuna
kinachoniuma kama hicho…. So mnadhani sijui kama umri unaenda na maisha yenyewe
sikuhizi mafupi anytime we die… Mnafikiria nisingependa kuacha hata ka copy
kangu siku ndo Mungu anasema ananichukua’
‘Hata
mimi natamani ningekuwa napiga picha niko na mwanangu… I want dat with all my
life but I cant…. Sitokaa nimkufuru Mungu wangu hata siku moja maana sijui ni
kitu gani kaniandikia… But just dont rub it in… It hurts… And im jus a human
being like each and everyone of u….
Source:-Millardayo.
Pata
Picha, Habari za Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Michezo kila stori
inayonifikia wakati wowote ukijiunga na mimi kwa kubonyeza…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
No comments:
Post a Comment