FAHAMU HILI:-Wema Sepetu kaumizwa tena… ameziandika hizi sentensi 4 kutoka moyoni. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Sunday, April 12, 2015

FAHAMU HILI:-Wema Sepetu kaumizwa tena… ameziandika hizi sentensi 4 kutoka moyoni.

Wema Sepetu ni mwigizaji staa wa Tanzania hakuna asiejua, Wema Sepetu ni Miss Tanzania 2006 na ni miongoni mwa mastaa wenye ushawishi mkubwa kwenye mitandao ya kijamii, hakuna asiejua…… ila tatizo linalomsumbua kwa sasa inawezekana kuna wengi wasiolijua.

 Amekua akisumbuliwa na tatizo la kutoweza kushika ujauzito ambapo baada ya ukimya mwingi, Wema ameamua kuongea yafuatayo kwa wote wanaombeza kutokana na tatizo lenyewe.

Amesema >>> ‘Ningekuwa na uwezo wa kuzaa ningekuwa nimezaa muda mrefu sana… But sina… Na siwezi kumkufuru mwenyezi mungu…. Au mngependa niwe nawaambia jinsi ninavyo hangaika usiku na mchana kupata mtoto wangu mwenyewe… Is dat wat u want…? kila ntakachofanya kwa ajili ya tumbo langu basi nitangaze… Au mnadhani siumii mnavyosema kuhusu maswala ya mtoto

Sentensi ya pili >>> ‘Kumbukeni na mimi pia ni binaadam… nina moyo kama nyie… au mnadhani napenda kuona wenzangu wana watoto au wana ujauzito alafu mimi sina hata wa kusingiziwa… mnaona nafurahia sio…. hivi mna nini jamani… yaani mtu unaweza weka post kwa nia nzuri then people jus come from nowea wanaanza kukuandikia maneno ya kukuumiza kabisa nafsi hadi mtu unakaa unajiuliza umemkosea nini mwenyezi Mungu

‘Kwani kuna niliemkosea yoyote mpaka muanze tu kunikashif na kunitolea maneno mazito namna hio… Kisa mtoto… mnadhani naipenda hii hali… hata mimi natamani kuitwa mama na hakuna kinachoniuma kama hicho…. So mnadhani sijui kama umri unaenda na maisha yenyewe sikuhizi mafupi anytime we die… Mnafikiria nisingependa kuacha hata ka copy kangu siku ndo Mungu anasema ananichukua’

‘Hata mimi natamani ningekuwa napiga picha niko na mwanangu… I want dat with all my life but I cant…. Sitokaa nimkufuru Mungu wangu hata siku moja maana sijui ni kitu gani kaniandikia… But just dont rub it in… It hurts… And im jus a human being like each and everyone of u….

Source:-Millardayo. 

Pata Picha, Habari za Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Michezo kila stori inayonifikia wakati  wowote ukijiunga na mimi kwa kubonyeza…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad