CAMERA YETU:-Ni muonekano wa Wanafunzi wa Shule ya Msingi Buhororo wilayani Ngara mkoani Kagera na Mazingira. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Sunday, April 12, 2015

CAMERA YETU:-Ni muonekano wa Wanafunzi wa Shule ya Msingi Buhororo wilayani Ngara mkoani Kagera na Mazingira.


Camera yetu Mwanawamakonda Blog katika tembea tembea yake mjini Ngara ilifika mpaka Kijiji cha Buhororo kilichopo kata ya Kibimba wilayani Ngara mkoani Kagera na kuwakuta hawa Wanafunzi wa shule ya Msingi Buhororo wakipanda maua kama ishara ya uboreshaji mazingira  na mandhari ya shule.Picha na Shaban Ndyamukama.




Pata Picha, Habari za Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Michezo kila stori inayonifikia wakati  wowote ukijiunga na mimi kwa kubonyeza…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.

Pia Camera Yetu iliwakuta Walimu wa shule hiyo wakiwajibika kwa usahihishaji wa Daftari za Wanafunzi mara baada ya Ufundishaji Darasana kama wanavyoonekana katika picha.



No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad