Katika Mechi
nyingine iliyochezwa hiyo juzi March 17, 2015 huko Vicente Calderon Jijini
Madrid, Wenyeji Atletico Madrid wametinga Robo Fainali kwa Mikwaju ya Penati
3-2 baada ya kufungana Mabao na Bayer Leverkusen 1-1 kwa Mechi mbili.
Leverkusen
walishinda kwao Ujerumani,bao 1-0 na Atletico kushinda 1-0 kwa Bao la Dakika ya
27 la Mario Suarez na kudumu hadi Dakika 90 kwisha na hivyo Mechi kwenda Dakika
za Nyongeza 30 bila kubadilika.
Atletico,
ambao Msimu uliopita wa 2013/2014 walifungwa Fainali ya Mashindano haya na Real
Madrid, sasa wanaingia Droo ya kupanga Mechi za Robo Fainali ya UEFA Champions
League ,itakayofanyika Ijumaa March 20, 2015 ,saa 7 Mchapamoja na A S Monaco, Real Madrid,
FC Porto, Bayern Munich , Paris Saint-Germain,FC Barcelona na Juventus.
UNGANA NASI KATIKA FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
Thursday, March 19, 2015
Home
MICHEZO
UEFA LIGI 2014/2015:-Manchester City yaungana na Chelsea na Arsenal kuaga katika 16 Bora .
UEFA LIGI 2014/2015:-Manchester City yaungana na Chelsea na Arsenal kuaga katika 16 Bora .
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment