Azam fc wakifanya mazoezi jana jioni uwanja wa
Mkwakwani. Picha kwa hisani ya Salehjembe.
Kwa Ushindi huo waliyopata Yanga SC wameendelea kujikita kileleni kwa
kufikisha pointi 37, pointi nne mbele ya Azam FC wenye pointi 33 watakaocheza na Coastal Union kesho jumapili March 22,2015 kwenye uwanja
huo huo wa Mkwakwani.
Ligi Kuu
Vodacom itaendelea pia Siku Jumapili kwa Simba SC walionafasi ya tatu na pointi 29 kuwepo Dar es Salaam kucheza na Ruvu
Shooting wakati Tanzania Prison wako kwao Sokoine Jijini Mbeya kucheza na
Polisi Moro.
Hii ilikuwa mechi 18 ya Yanga SC na Azam FC watacheza mechi ya 18 kesho.
Kama watashinda wataendelea kuwa nyuma kwa pointi moja na kama watatoa sare
watakuwa pointi tatu nyuma ya Yanga SC.
UNGANA NASI KATIKA FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
Saturday, March 21, 2015
Home
MICHEZO
LIGI KUU VODACOM 2014/2015:-Baada ya Yanga kushinda 2-0, Coastal na Azam FC,Simba na Ruvu Shooting vitani kesho March 22,2015.
LIGI KUU VODACOM 2014/2015:-Baada ya Yanga kushinda 2-0, Coastal na Azam FC,Simba na Ruvu Shooting vitani kesho March 22,2015.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment