Matokeo ya mechi nyingine za leo March 21,2015 ni Newcastle kufungwa bao 1-2 na Arsenal kwa bao za Olivier Giroud,
Tottenham akashinda 4-3 dhidi ya Leicester
huku Harry Kane akipiga hat-trick.
Nao Aston Villa wakafungwa bao 0 -1 na Swansea, Southampton kushinda 2- 0 dhidi ya Burnley wakati Stoke City akachapwa bao
1 - 2 na Crystal Palace.
HAPO KESHO JUMAPILI MARCH 22,2015 LIGI KUU.
1630 Liverpool v Man United
1900 Hull City v Chelsea
1900 QPR v Everton
UNGANA NASI KATIKA FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
Saturday, March 21, 2015
Home
MICHEZO
LIGI KUU UINGEREZA 2014/2015:-Matokeo ya mechi za leo March 21,2015 Arsenal, Tottenham na Manchester City wakishinda.
LIGI KUU UINGEREZA 2014/2015:-Matokeo ya mechi za leo March 21,2015 Arsenal, Tottenham na Manchester City wakishinda.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment