Kama mauzo
yetu nje ni sawa na Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, basi Azam FC ni Utalii,
Young Africans ni Viwanda, Mtibwa Sugar ni Dhahabu na Simba Sports Club ni
Kilimo (tena Pamba kwa namna inavyoporomoka). Anasema Mbunge wa Kigoma
Kaskazini Mh. Zitto Kabwe.
Zitto
anasema katika kipindi cha miaka 2 (2012-2014) utalii umepanda kwa
$0.4bn,viwanda vimepanda kwa $0.3bn. Dhahabu imeshuka na Pamba imeshuka zaidi.
Je, timu unayoshabikia ni Utalii, viwanda, dhahabu au pamba? BOFYA HAPA ZAIDI KWA MAONI YAKO''
|
Tuesday, February 24, 2015
NENO LA LEO :-Lisome hapa.....Ni kutoka Vodacom Tanzania.
Tags
# HABARI
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment