KUTOKA BUNGENI FEBRUARI 03,2015:-Waziri Lukuvi atangaza Mapambano dhidi ya wanaodhulumu Ardhi. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, February 04, 2015

KUTOKA BUNGENI FEBRUARI 03,2015:-Waziri Lukuvi atangaza Mapambano dhidi ya wanaodhulumu Ardhi.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Bw.William Lukuvi, akijibu hoja za kamati na Wabunge mjini Dodoma Jana Februari 03,2015.


Waziri wa Maliasili na Utalii,Bw. Lazaro Nyalandu akijibu hoja Bungeni kuhusu wizara yake.

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Profesa Jumanne Maghembe akijibu hoja za kamati hoja za kamati.

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Said Nkumba akiwasilisha taarifa ya kamati yake. Picha na Hussein Makame-MAELEZO,Dodoma.
Hussein Makame-MAELEZO,Dodoma

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi , amesema Serikali itahakikisha inapambana na watu wote wanaoendesha   vitendo vya dhuluma, matapeli na wanaonyang’anya viwanja, majengo, mashamba na ardhi za wanyonge.

Waziri Lukuvi ametangaza azma hiyo wakati akijibu baadhi ya hoja za Wabunge waliochangia Taarifa ya Kamati ya Bunge, ya Ardhi, Maliasili na Mazingira iliyowasilishwa na kupitishwa Bungeni mjini Dodoma.

Alisema anatambua kwamba hasa maeneo ya mijini kuna dhuluma nyingi zinafanyika ambapo masikini, mayatima na wajane  wanadhulumiwa na kunyang’anywa ardhi na majengo yao.,:-BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI

UNGANANASI KATIKA  FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad