Wananchi
waliofurika kwenye uwanja wa Uhuru Platform ambapo Dioniz Malinzi alisimikwa
ukamanda wa vijana mkoa wa Kagera
|
Saida Karoli
akitumbuiza wakati wa sherehe hizo za usimikwaji wa kamanda wa vijana Dioniz
Malinzi kwenye uwanja wa Uhuru,Mayunga Bukoba mjini.
|
No comments:
Post a Comment