AFCON 2015:-Nusu Fainali Februari 04,2015 ni kati ya Congo DR na Ivory Coast. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, February 04, 2015

AFCON 2015:-Nusu Fainali Februari 04,2015 ni kati ya Congo DR na Ivory Coast.

Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, AFCON 2015, sasa yapo hatua ya Nusu Fainali na Jumatano Usiku huko Estadio de Bata, Mjini Bata, Nchini Equatorial Guinea, Nusu Fainali ya kwanza itachezwa.

Nusu Fainali hiyo ni kati ya Congo DR na Ivory Coast.

Congo DR ilitinga Nusu Fainali kwa kuwatwanga Majirani zao Congo Bao 4-2 baada ya kutoka nyuma kwa Bao 2-0 na Ivory Coast kuichapa Algeria Bao 3-1.

Alhamisi ni Nusu Fainali nyingine kati ya Wenyeji Equatorial Guinea na Ghana.

RATIBA.

**Saa za Bongo

NUSU FAINALI

Jumatano Februari 4,2015.

2200 Congo DR v Ivory Coast [Estadio de Bata]  
      
Alhamisi Februari 5,2015.

2200 Equatorial Guinea v Ghana [Nuevo Estadio de Malabo] 

MSHINDI WA 3

Jumamosi Februari 7,2015.

2100 Aliefungwa NF1 v Aliefungwa NF2 [Nuevo Estadio de Malabo]

FAINALI

Jumapili Februari 8,2015.

2200 Mshindi NF1 v Mshindi NF2 [Estadio de Bata]     

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad