Waziri wa Nishati na Madini mpya, Bw.George Simbachawene.
|
Waziri wa Afrika Mashariki, Dk. Harrison
Mwakyembe.
|
Waziri wa Mahusiano na Uratibu, Bi.Mary Nagu.
|
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi, Bw.Wiliam
Lukuvi.
|
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Bw.Steven
Wassira.
|
Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na
Uwezeshaji, Bw.Christopher Chiza.
|
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano, Bw.Steven Masele.
|
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi,
Bi.Angellah Kairuki.
|
Naibu Waziri Katiba na Sheria,Bi.Ummy Mwalimu.
|
Bi.Anne
Kilango Malechela mbunge wa mbunge wa jimbo la Same Masharikinaye hii ni mara
yake ya kwanza kuingia serikalini baada ya kuteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Elimu
|
Charles
Mwaijage - Pichani ni Mbunge wa Muleba
Kaskazini CCM,Bw. Charles Mwijage ambaye ameteuliwa kwa mara ya kwanza kushika
nafasi ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini.
|
Mawaziri.
Bw.George
Simbachawene – Waziri wa Nishati na Madini
Bi.Mary Nagu -
Waziri wa Nchi , Ofisi ya Rais- Mahusiano na Uratibu
Bw.Christopher
Chiza - Waziri Uwezeshaji na Uwekezaji
Bw.Harrison
Mwakyembe - Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Bw.William
Lukuvi - Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi
Bw.Steven
Wasira - Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika
Bw.Samuel Sitta -
Waziri wa Uchukuzi
Bi.Jenista
Muhagama - Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge
Manaibu
Waziri.
Bw.Stephen
Masele - Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu Rais- Muungano
Bi.Angela
Kairuki - Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi
Bi.Ummy Mwalimu
- Naibu Waziri wa Katiba na Sheria
Bi.Anne Kilango
- Naibu Waziri wa Elimu
Bw.Charles
Mwaijage - Naibu Waziri wa Nishati na Madini.
UNGANANASI KATIKA FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
No comments:
Post a Comment