Toka Kushoto ni Babu Ismail toka Kasulu,Hamis Mkama toka Ngara wakiwakilisha Idara ya Usafiri sambamba na Rehema Ruhotola . |
Toka Kushoto ni Albert Kavano toka Mwanza,Lokendo toka DRC wakiwa na Br Deus wakati wa Hafla hiyo ya Wafanyakazi wa Radio Kwizera FM. |
Toka Kushoto ni Yohana Bitta Kaimu Fundi Mkuu sambamba na Juventusi Juvinary kutoka Biharamulo katika pozi. |
Toka Kushoto ni Elasimus Luziro kutoka Kigoma katika pozi na Lubanga Nathanael ambaye ni Kaimu Production Officer. |
Toka Kushoto ni Bi.Anna Matenga Team Leader kituo cha Kibondo katika pozi na Maalim Shaaban Ndyamukama.
|
Hii ya Babu Ismail kwa mbele daaaaa...ni kali zaidi yaaa.....sambamba na Fr.Sixmund Nyabenda toka kushoto,Fadhil Kijanjali,Chief Editor Seif Omary Upupu na Kosta Kasisi katika amsha amsha za sherehe. |
Toka Kushoto ni Brother Deus na CEO wa Makonda Blog na Mkuu wa Idara ya Studio Mwana wa Makonda katika pozi . |
Toka Kushoto ni Omary Mbwambo Team Leader kituo cha Kasulu,mkoani Kigoma katika pozi na Afisa Masoko Smith Swai. |
...............Kitengo cha Nyama choma kikiwajibika ...... |
Pamoja na
Halfa hiyo kuambatana na Burudani ya Muziki,Kuonesha Vipaji vya
Uimbaji,Uchezaji Muziki ,Kucheza Mpira , Mkurugenzi wa Radio Kwizera, Fr Damas
Missanga amewawataka Wanahabari wa Kituo hicho kuthamini kwanza usalama
wa maisha yao wakati wa kufatilia habari /matukio kwani wanaweza kuwa chambo cha kupoteza maisha yao.
Katika
matukio makubwa ya kusisimua kisiasa mwaka huu 2015, Fr Damas Missanga kawataka
wanahabari kuhakikisha wanaripoti habari zisizo za ushabiki wala uchochezi
na kuwapa nafasi wanaolalamikiwa kutoa maoni yao bila kutumiwa na wanasiasa kwa
maslahi yao binafsi sambamba na kufanya uchunguzi wa kina na kuhoji mamlaka
husika ili kila mmoja kupata haki yake ili kukuza demokrasia na utawala bora.
Kuanzia
Mwezi februari mwaka huu , Kituo cha Radio Kwizera kinatarajia kupanua huduma
zake za matangazo katika Miji ya Bukoba,Kahama na Mwanza ambapo kwa sasa pia kikisikika kupitia njia ya
mtandao kwa tovuti yetu ya www.radiokwizera.com
na www.radiostationstz.com.
|
No comments:
Post a Comment