MAPINDUZI CUP 2015:-Soma matokeo ya Mechi za toka Januari 01,2015 huku Simba SC akishinda 1 – 0 dhidi ya Mafunzo Januari 03,2015,Yanga SC wako na Polisi leo Usiku. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Sunday, January 04, 2015

MAPINDUZI CUP 2015:-Soma matokeo ya Mechi za toka Januari 01,2015 huku Simba SC akishinda 1 – 0 dhidi ya Mafunzo Januari 03,2015,Yanga SC wako na Polisi leo Usiku.

Mshambuliaji wa Simba SC, Elias Maguri akimtoka beki wa Mafunzo katika mchezo wa  Kundi C Kombe la Mapinduzi jana Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Simba SC ilishinda 1-0.

 Mashindano ya Mapinduzi Cup 2015 huko Visiwani Zanzibar yameendelea Januari 03,2014 kwa Mechi mbili za Kundi C ambapo Simba SC iliifunga Mafunzo na Mtibwa Sugar kutoka Sare na JKU.

Wakiwa chini ya Kocha wao mpya kutoka Serbia Goran Kopunovic, akiwaongoza Simba SC kwa mara ya kwanza, waliifunga Mafunzo Bao 1-0 kwa Bao la Dakika ya 54 la Said Ndemla aliefumua Shuti la mbali.

Kwenye Mechi ya utangulizi hii , Mtibwa Sugar walitoka 1-1 na JKU.

Mapinduzi Cup inaendelea Jumapili kwa Mechi 4.

MAKUNDI.

KUNDI A

-Yanga SC

-Taifa ya Jang’ombe [Zanzibar]

-Shaba [Pemba]

-Polisi [Zanzibar]

KUNDI B

-KCCA [Uganda]

-Azam FC

-KMKM [Zanzibar]

-Mtende [Zanzibar]

KUNDI C

-Simba SC

-Mtibwa Sugar

-JKU [Zanzibar]

-Mafunzo [Zanzibar]

RATIBA/MATOKEO.


** Mechi zote kuchezwa Uwanja wa Amaan isipokuwa inapotajwa

Alhamisi Januari 01,2015.

JKU 2 - 0 Mafunzo

Polisi 1 - 0 Shaba

Simba SC 0 - 1 Mtibwa

Ijumaa Januari 02,2015.

KMKM 0 - 0 Mtende 

KCCA 2 - 2 Azam FC 

Yanga 4 - 0 Taifa ya Jang’ombe 

Jumamosi Januari 03,2015.

JKU 1 - 1 Mtibwa 1

Mafunzo 0 - 1 Simba SC

Jumapili Januari 04,2015.

1500 KCCA v Mtende

1500 Taifa ya Jang’ombe v Shaba [Uwanja wa Mao]

1700 KMKM v Azam FC

2015 Yanga SC v Polisi

Jumatatu Januari 05,2015.

1500 Mtibwa v Mafunzo

2015 Simba SC v JKU

Jumanne Januari 06,2015.

1500 KCCA v KMKM

1500 Polisi v Taifa ya Jang’ombe [Uwanja wa Mao]

1700 Azam FC v Mtende

2015 Yanga SC v Shaba

Jumatano Januari 07,2015.

Robo Fainali.

Mshindi Kundi C v Mshindi wa 3 Bora Na. 2

Mshindi wa Pili Kundi B v Mshindi wa Pili Kundi C

Alhamisi Januari 08,2015.

Mshindi Kundi B v Mshindi wa Pili Kundi A

Mshindi Kundi A v Mshindi wa 3 Bora Na. 1

Jumamosi Januari 10,2015.

Nusu Fainali

Mshindi RF 1 v Mshindi RF 2

Mshindi RF 3 v Mshindi RF 4

Jumanne Januari 13,2015.

Fainali

UNGANANASI KATIKA  FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad