TUZO ZA MWANASOKA BORA CAF 2014:-Nasib Abdul ‘Diamond’ ateuliwa Kutumbuiza …Ni Januari 08, 2015 jijini Lagosi Nigeria. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Sunday, January 04, 2015

TUZO ZA MWANASOKA BORA CAF 2014:-Nasib Abdul ‘Diamond’ ateuliwa Kutumbuiza …Ni Januari 08, 2015 jijini Lagosi Nigeria.

Msani Mahiri wa Muziki wa Kizazi Kipya (Bongo Fleva)Nchini Tanzania Nasib Abdul ‘Diamond’ amechaguliwa kuwa mmoja wa wasanii watakaotumbuiza kwenye hafla ya utoaji tuzo za mwanasoka bora Afrika 2014.

Diamond atatumbuiza katika tuzo hizo ambazo wachezaji 25 nyota barani Afrika wamechaguliwa kugombea tuzo hizo. Hafla hiyo itafanyika Januari 08, 2015 jijini Lagosi ,nchini Nigeria. 

Mwanasoka Bora, Yaya Toure raia wa Ivory anayeitumikia Manchester City ya Uingereza ni kati ya watakaowania nafasi hiyo. 

Wanaowania tuzo ya Mwanasoka Bora Afrika 2014.


1.    Ahmed Musa                           (Nigeria, CSKA Moscow)

2.    Asamoah Gyan                        (Ghana, Al Ain)

3.    Dame N’doye                          (Senegal, Lokomotiv Moscow)

4.    Emmanuel Adebayor                        (Togo, Tottenham)

5.    Eric Maxim Choupo-Moting            (Cameroon, Schalke 04)

6.    Fakhreddine Ben Youssef                 (Tunisia, CS Sfaxien)

7.    Ferdjani Sassi                           (Tunisia, CS Sfaxien)

8.    Yao Kouassi Gervais ‘Gervinho’ (Cote d’Ivoire, AS Roma)

9.    Islam Slimani                            (Algeria, Sporting Lisbon) 

10. Kwadwo Asamoah                             (Ghana, Juventus)

11. Mehdi Benatia                         (Morocco, Bayern Munich)

12. Mohamed El Neny                  (Egypt, Basel)

13. Pierre-Emerick Aubameyang          (Gabon, Borussia Dortmund) 

14. Raïs M'Bolhi                              (Algeria, Philadelphia Union) 

15. Sadio Mané                              (Senegal, Southampton)

16. Seydou Kieta                            (Mali, As Roma)

17. Sofiane Feghouli                     (Algeria, Valencia)

18. Stephane Mbia                        (Cameroon,  Sevilla)

19. Thulani Serero                         (South Africa, Ajax)

20. Vincent Aboubakar                            (Cameroon, Porto) 

21. Vincent Enyeama                    (Nigeria, Lille)

22. Wilfried Bony                           (Cote d’Ivoire, Swansea)

23. Yacine Brahimi                         (Algeria, Porto)

24. Yannick Bolasie                        (DR Congo, Crystal Palace)

25. Yaya Toure                                (Cote d’Ivoire, Man City)

Wanaowania tuzo za Mwanasoka Bora Afrika 2014 ( Kwa wachezaji wanaocheza Afrika)

1.    Amr Gamal                   (Egypt, Al Ahly)

2.    Abdelrahman Fetori              (Libya, Ahly Benghazi)

3.    Bernard Parker           (South Africa, Kaizer Chiefs)

4.    Bongani Ndulula        (South Africa, Amazulu)

5.    Akram Djahnit             (Algeria, ES Setif)

6.    Ejike Uzoenyi               (Nigeria, Enugu Rangers)

7.    El Hedi Belamieri         (Algeria, ES Setif)

8.    Fakhereddine Ben Youssef   (Tunisia, CS Sfaxien)

9.    Ferdjani Sassi                    (Tunisia, CS Sfaxien)

10. Firmin Mubel Ndombe          (DR Congo, AS Vita)

11. Geoffrey Massa                  (Uganda, Pretoria University)

12. Jean Kasusula                     (DR Congo, TP Mazembe)

13. Kader Bidimbou                  (Congo, AC Leopards)

14. Lema Mabidi                       (DR Congo, As Vita)

15. Mudathir Al Taieb                (Sudan, Al Hilal)

16. Roger Assalé                     (Cote d’Ivoire, Sewe Sport)

17. Senzo Meyiwa                    (South Africa, Orlando Pirates)

18. Solomon Asante                 (Ghana, TP Mazembe)

19. Souleymane Moussa            (Cameroon, Coton Sport)

20. Yunus Sentamu                  (Uganda, AS Vita)

UNGANANASI KATIKA  FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad