|
Mpira
ukigonga mwamba kwenye lango la Ruvu Shooting, kufuatia kona ya Andrey Coitinho
(hayupo pichani) kuunganishwa kwa kichwa na Simon Msuva Kwenye mchezo wa
Ligi kuu soka Vodacom Tanzania bara 2014/2015 leo Januari 17.
Yanga SC imepata sare ya pili mfululizo baada
ya kumaliza dakika 90 dhidi ya Ruvu Shooting bila bao.
Sare hiyo
inakuwa ni ya pili kwa Kocha Hans van der Pluijm raia wa Uholanzi ambaye
amerejea kuinoa Yanga.
Katika mechi
hiyo ya leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar, Yanga ilipoteza zaidi ya nafasi
tatu za kufunga kupitia Simon Msuva, Amissi Tambwe na Andrey Couinho.
|
|
Kocha Goran
Kopunovic ameanza Ligi Kuu Bara vizuri baada ya kuiwezesha Simba SC kushinda
kwa mabao 2-0 dhidi ya Ndanda FC ya Mtwara.
Simba SC imeshinda
mechi hiyo ikiwa ugenini leo Januari 17,2015 kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona
mjini Mtwara.
Vijana hao
wa Msimbazi walifunga bao kila kipindi wakianza kupitia kwa Danny Sserunkuma
aliyeonekana kufanya vizuri katika mechi hiyo ambapo Kipindi cha pili, Simba SC
ilikianza vizuri na harakaharaka ilifanikiwa kupata bao la pili kupitia kwa
Elius Maguli.
Huu ni
ushindi wa pili kwa Simba SC tokea
ilipoifunga Ruvu Shooting mwishoni mwa mwaka jana 2014 ,ukiwa ni ushindi pekee
chini ya Patrick Phiri halafu ikatoka sare mechi sita na kupoteza moja dhidi ya
Kagera Sugar.
|
|
Huko
Kambarage,Mkoani Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa Bao la Dakika
ya 43 la Frank Domayo na kukaa kileleni mwa Ligi wakiwa Pointi 1 mbele ya Mtibwa
Sugar ambao wanacheza Jumapili januari 18,2015 Ugenini na JKT Ruvu.
Huko CCM
Kirumba, Mwanza, Mbeya City wameifunga Kagera Sugar, wanaotumia Uwanja huo kwa
Mechi za Nyumbani baada Kaitaba kufungwa kwa ukarabati, Bao 1-0 kwa Bao la
Dakika ya 80 la Peter Mapunda.
|
RATIBA VPL.
Jumapili Januari 18,2015.
JKT Ruvu v Mtibwa Sugar
Coastal Union v Polisi Morogoro
MSIMAMO.
NA
|
TIMU
|
P
|
W
|
D
|
L
|
F
|
A
| |
GD
|
PTS
|
1
|
Azam FC
|
9
|
5
|
2
|
2
|
11
|
6
| |
5
|
17
|
2
|
Mtibwa Sugar
|
8
|
4
|
4
|
0
|
11
|
4
| |
7
|
16
|
3
|
JKT Ruvu
|
10
|
5
|
1
|
4
|
10
|
9
| |
1
|
16
|
4
|
Yanga
|
9
|
4
|
3
|
2
|
11
|
7
| |
4
|
15
|
5
|
Kagera Sugar
|
10
|
3
|
5
|
2
|
7
|
5
| |
2
|
14
|
6
|
Polisi Moro
|
10
|
3
|
5
|
2
|
9
|
8
| |
1
|
14
|
7
|
Simba
|
9
|
2
|
6
|
1
|
9
|
7
| |
2
|
12
|
8
|
Coastal Union
|
9
|
3
|
3
|
3
|
9
|
8
| |
1
|
12
|
9
|
Ruvu Shooting
|
11
|
3
|
3
|
5
|
5
|
8
| |
-3
|
12
|
10
|
Mgambo JKT
|
9
|
4
|
0
|
5
|
5
|
9
| |
-4
|
12
|
11
|
Mbeya City
|
9
|
3
|
2
|
4
|
4
|
6
| |
-2
|
11
|
12
|
Stand United
|
11
|
2
|
5
|
4
|
7
|
13
| |
-6
|
11
|
13
|
Ndanda FC
|
11
|
3
|
1
|
7
|
10
|
16
| |
-6
|
10
|
14
|
Tanzania Prisons
|
9
|
1
|
4
|
4
|
6
|
8
| |
-2
|
7
|
No comments:
Post a Comment