Chelsea,
wakicheza leo Januari 17,2015 Ugenini, wamepaa kileleni mwa Ligi Kuu Uingereza
wakiwa Pointi 5 mbele ya Mabingwa Watetezi Manchester City baada ya kuitandika
Swansea City Bao 5-0.
|
QPR 0 - 2 MAN
UNITED .
Nazo bao 2
za Kipindi cha Pili za wachezaji Marouane Fellaini na James Wilson zimewapa ushindi wa
Bao 2-0 Manchester United waliocheza Ugenini Loftus Road na QPR.
|
Ushindi huu
umeifanya Man United warudi Nafasi ya 3 na kuitambuka Southampton ambao baadae
Leo wako Ugenini kucheza na Newcastle.
|
No comments:
Post a Comment