![]() |
|
Ishu ya
kutangaza kugombea Urais; “Tutavuka mto tukifika mtoni..”
Likaulizwa
swali kuhusu ile skafu yake anayopenda kuivaa; “ni kitu kama kigumu sana
kuja kupata vazi moja ambalo litavaliwa na Wamasai, Wanyakyusa, Wazanzibar
nadhani ni ngumu sana. Nilichokiona kinaweza kikafaa kwa wote ni skafu, hata
mtu aliyevaa kanzu anaweza akaweka skafu. Mama na yeye anaweza akaweka skafu…”
Swali la
kiongozi gani upande wa upinzani anamvutia; “… Zitto Kabwe, lakini kuchukua
nchi bado hata yeye anajua …”
Unaweza
kuisikiliza sauti yote ya Naibu Waziri huyo kutoka kwenye show ya Mkasi
hapa.BOFYA HAPA
Chnazo:-Millardayo.
|
Tuesday, January 20, 2015
Home
SIASA
KIONGOZI WETU:-Mwigulu Nchemba kuhusu Urais, Escrow, kiongozi wa Upinzani anayemvutia yote hapa (Audio).
KIONGOZI WETU:-Mwigulu Nchemba kuhusu Urais, Escrow, kiongozi wa Upinzani anayemvutia yote hapa (Audio).
Tags
# SIASA
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
SIASA
Labels:
SIASA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.








No comments:
Post a Comment