AFYA YETU:-Tazama Picha 4 wakati Rais Kenyatta akizindua Huduma ya kuokoa watumishi wa Umma Kenya . - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Tuesday, January 20, 2015

AFYA YETU:-Tazama Picha 4 wakati Rais Kenyatta akizindua Huduma ya kuokoa watumishi wa Umma Kenya .

Serikali ya Kenya imeanzisha mpango kabambe wa kutoa huduma za kuokoa kwa kutumia ndege na magari kwa watumishi wa umma nchini humo, katika uzinduzi uliofanyika hivi karibuni.

Huduma hiyo imezinduliwa kwa ushirikiano na shirika la bima ya afya,shirika la msalaba mwekundu na kundi la Madaktari wanaosafiri kwa ndege la AMREF.

Taifa la Kenya inakuwa nchi ya pili baada ya Afrika Kusini kutoa huduma ya aina hii.

Victor Kenani alkuwepo kwenye uzinduzi wa mpango huo ambapo Rais Uhuru Kenyatta alihudhuria.Chanzo :-BBC Swahili.

UNGANANASI KATIKA  FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad