Umati wa wananchi ukimsikiliza Chifu Msaidizi
wa Waluguru Chidukila wakati wa sherehe hizo.
|
Chifu Msaidizi wa Waluguru Chidukila akiongea
na wananchi wakati wa sherehe hizo.
|
CHIFU wa Waluguru Kingalu Mwanabanzi wa 14,
akimvika mgolole Rais Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa kumtawaza kuwa
Chifu Msaidizi wa kabila hilo.
|
CHIFU wa Waluguru Kingalu Mwanabanzi wa 14,
akimvipa pama lililosukwa kwa ukindu Rais Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa
kumtawaza kuwa Chifu Msaidizi wa kabila hilo.
|
CHIFU wa Waluguru Kingalu Mwanabanzi wa 14,
akimkabidhi kifimbo maalumu Rais Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa kumtawaza kuwa
Chifu Msaidizi wa kabila hilo.
|
CHIFU wa Waluguru Kingalu Mwanabanzi wa 14,
akimuonesha Rais Jakaya Mrisho Kikwete namna ya kuweka kifimbo maalumu
begani wakati wa kumtawaza kuwa Chifu Msaidizi wa kabila hilo.
|
Mke wa Chifu Kingalu akimkabidhi Mama Salma
Kikwete shuka katika sherehe hizo.
|
Chifu Msaidizi wa Waluguru Chidukila
akifurahia wakati wa sherehe hizo.
|
Chifu Msaidizi wa Waluguru Chidukila
akifurahia kifimbo maalumu alichokabidhiwa wakati wa sherehe hizo.
|
Mama Salma Kikwete akihutubia wananchi wakati
wa sherehe hizo, akisisitiza umuhimu wa kinamama kujiunga na SACCOS pamoja na
kupambana na ugonjwa wa Fistula kwa wakati muafaka.
|
Rais Kikwete akiwaaga wananchi wa Kinole baada
ya sherehe hizo.
PICHA NA IKULU
|
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WhatsApp:- 0789-925-630.
Like ukurasa wetu wa facebook ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu BONYEZA HAPA
No comments:
Post a Comment