Kocha
Msaidizi Ryan Giggs akiwa ameshika kichwa akilia kwa uchungu mwishoni mwa
mchezo huo, huku kocha Louis van Gaal akiwa haamini macho yake kile kilichotokea jana Agosti 26,2014 usiku.
|
Like ukurasa wetu wa facebook ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu BONYEZA HAPA
Wachezaji wa
United wakiwa hoi baada ya kipigo kutoka kwa Mk Dons ya Daraja la Kwanza
mabao 4-0 katika michuano ya Kombe la Ligi, maarufu Capital One na
kutolewa.
|
No comments:
Post a Comment