AJALI:- Taswira ya Basi la Hood toka Arusha kwenda Iringa lilivyoharibika vibaya baada ya kunusurika kugongana uso kwa uso na Lori leo Agosti 26,2014. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Tuesday, August 26, 2014

AJALI:- Taswira ya Basi la Hood toka Arusha kwenda Iringa lilivyoharibika vibaya baada ya kunusurika kugongana uso kwa uso na Lori leo Agosti 26,2014.

Baadhi ya Wananchi wakishuhudia Ajali ya basi la Hood ilivyotokea Leo Agosti 26,2014 ,Majira ya Asubuhi.

 Basi la Hood lenye namba za Usajili lililokuwa likitoka Arusha kwenda Iringa llimepata ajali asubuhi ya leo Agosti 26,2014 eneo la Kikatiti, mkoani Arusha. 

Basi hilo lilitaka kugongana uso kwa uso na lori la mizigo, ndipo katika kukwepana ikatokea ajali hiyo. 

Abiria wa basi wamenusurika , ila lori lilidumbukia darajani na hakukuwa na mtu aliyepoteza maisha.

Muonekano wa mbele ulivyoharibika vibaya wa Basi hilo la Hood lililopata ajali asubuhi ya leo Agosti 26,2014 eneo la Kikatiti, mkoani Arusha.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WhatsApp:- 0789-925-630.
 
 Like ukurasa wetu wa facebook  ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu BONYEZA HAPA

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad