|
Kazi ya kuhamisha mafuta kutoka kwenye gari
lililoanguka kwenda jingine ikifanyika.
|
|
Polisi wakipakia madumu ya mafuta
waliyoyakamata kutoka kwa wananchi.
|
|
Gari la zimamoto likiwa eneo la tukio.
|
|
Foleni iliyosababishwa na ajali hiyo eneo la
Kimara, Dar.
|
|
Polisi wakitafuta mafuta yaliyoibiwa katika
moja ya maduka ya jirani.
|
|
Wananchi wakiwa pembeni baada ya kufyatuliwa
mabomu ya machozi.
|
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WhatsApp:-
0789-925-630.





No comments:
Post a Comment