Mike Sangu pamoja na Bakari Makuka wakiwa
wamebeba jeneza hilo pamoja na wanakamati wengine.
|
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky
Sadick akiaga mwili wa marehemu George Otieno 'Tyson' katika Viwanja vya
Leaders, Dar es Salaam June 04,2014.
|
Mwigizaji mkongwe, Ahmed Olotu 'Mzee Chilo'
naye akipita kuaga mwili huo.
|
........Muigizaji Jacob Steven 'JB' akiaga.........
|
Mke wa muigizaji Kulwa Kikumba 'Dude' naye
alikuwepo katika kuaga.
|
Komedian kutoka mkoani Tanga anayejulikana kwa
jina la Mwened naye alishiriki tukio la kuaga mwili wa marehemu Tyson June 04,2014.
|
...............Muigizaji Hashim Kambi naye akiaga........
|
.......Thea akiwa anaaga mwili wa marehemu Tyson.....
|
Ndugu wa marehemu Tyson nao wakipita kumuaga ndugu yao.
|
.....Monalisa akisaidiwa na watu baada ya kupita
kuaga mwili wa marehemu mumewe.......
|
Mtoto wa marehemu Tyson anayejulikana kwa jina
la Sonia akiongea neno kuhusiana na msiba wa baba yake.
|
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky
Sadick akihutubia msibani hapo huku wanahabari wakiwa bize kupiga picha.
|
Wafanyakazi wa TV1 ambao walikuwa wakifanya
kazi na marehemu Tyson wakiwa na nyuso za huzuni wakati wa kumuaga mfanyakazi
mwenzao katika Viwanja vya Leaders ,Dar es Salaam June 04,2014.
|
No comments:
Post a Comment