![]() |
Chatu huyo
akiwa ametumbukia ndani ya nyumba Hiyo maeneo ya sakina mkoani Arusha.
|
Kwa mujibu wa Arusha yetu Blog wanasema kuwa Chatu huyo aliuwawa na wananchi mchana wa June 05 na ni baada ya kuonekana maeneo ya Sakina Arusha akiwa amefungwa kitambaa chenye maaandishi mekundu.
Wakazi wa
eneo la Sakina wamepatwa na mshtuko mkubwa,kikubwa zaidi kwa Chatu huyo ni kuwa
inasemekana alionekana akiingia ndani.
Mara baada
ya kuonekana kwa Chatu huyo wananchi walijipanga kisha wakafanikiwa kumuua
ingawa kulitokea utata baada ya Mama mwenye nyumba aliyetokea Chatu huyo
kupinga kuuliwa kwa Chatu huyo,Chatu huyo aliuwawa kisha akakatwa vipande
vipande.
![]() |
Hicho
ni kitambaa ambacho alikuwa amefungwa chatu huyo kwa nyuma kikiwa kina
maandishi mekundu.
|
![]() |
Chatu akiwa
anatamba pembeni ya ukuta kuingia ndani ya nyumba lakini Wananchi
walifanikiwa kumuua ,tukio likitokea june 05,2014, maeneo ya sakina mkoani Arusha
|
No comments:
Post a Comment