Real, ambao walitawala, walikuwa shapu na kuonana sana, walipata Bao la kwanza Dakika ya 17 baada ya Shuti la Pepe kumbabatiza Insua na kutinga.
Bao la Pili la Real, lilikuwa safi sana, kufuatia ushirikiano mzuri na Jese Rodriguez kumalizia kwenye Dakika ya 57.
Bao la Tatu ni la Shuti la Angel Di Maria ambalo lilimbabatiza Joao Miranda na kutingisha kamba kwenye Dakika ya 73.
Timu hizi zitarudiana huko Estadio Vicente Calderon hapo Jumanne Februari 11 na ili Atletico waendelee kulitetea Taji lao inabidi waichape Real Madrid Bao 4-0.
Barcelona 2 v 0 Real Sociedad
NUSU FAINALI
[Saa za Bongo]
Marudiano
Jumanne Februari 11,2014.
23:00 Atletico de Madrid v Real Madrid CF [0-3] [Estadio Vicente Calderon]
Jumatano Februari 12,2014.
24:00 Real Sociedad v FC Barcelona [Estadio Anoeta]
FAINALI
Aprili 19,2014.








No comments:
Post a Comment