Tazama taswira ya Msitu Mkubwa wa Miti Uliopo Sao Hill mkoani Iringa nchini Tanzania. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Saturday, January 18, 2014

Tazama taswira ya Msitu Mkubwa wa Miti Uliopo Sao Hill mkoani Iringa nchini Tanzania.

Hii ni sehemu ya kuingilia katika msitu huo ukitokea mkoani Mbeya nchini Tanzania …..Tumekuwa tukisikia sana kuhusu pori kubwa na lenye miti mingi kulipo yote tanzania ambayo ni ya kupandwa, lakini hatujapata nafasi ya kuliona….Pori hilo kubwa lipo Barabara ya kimataifa inayotokea Dar es salaam  Kuelekea nchini Zambia ni Msitu wa Sao Hill uliopo Iringa Tanzania.
( Picha zote na Maliasili Blog


Ukungu huu mkubwa unatokana na hali ya hewa na Msitu huo wa Sao Hill una miti ya kupandwa kwa ajili ya kutengenezea karatasi na matumizi ya mbao.

Ndani ya msitu huo wenye Kilometa zaidi ya 10, Magari hupita bila wasiwasi kwa sababu ni eneo lililo salama na wakati mwingine Unaweza ukasema mbele hapapitiki lakini ni hali halisi ya ukungu mkubwa.

Hii ni miti kama inavyo onekana, imepandwa kwa umahili wa hali ya juu katika Pori hilo kubwa lipo Barabara ya kimataifa inayotokea Dar es salaam  Kuelekea Zambia ni Msitu wa Sao Hill uliopo Iringa Tanzania.

Hata watembea kwa miguu wanapita katika msitu huo wa Sao Hill uliopo mkoani Iringa nchini Tanzania.

Hili ni eneo la wazi kiasi katika msitu huo wenye Kilometa zaidi ya 10, Magari hupita bila wasiwasi kwa sababu ni eneo lililo salama.

Pori hilo kubwa lipo Barabara ya kimataifa inayotokea Dar es salaam  Kuelekea Zambia ni Msitu wa Sao Hill uliopo Iringa Tanzania. Msitu huu una miti ya kupandwa kwa ajili ya kutengenezea karatasi na matumizi ya mbao…Picha zote na Maliasili Blog

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad