![]() |
|
Tembo
akinywa maji ndani ya ziwa victoria katika hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha
Rubondo, wanyama hawa ni sehemu ya utalii katika Hifadhi hiyo.
|
![]() |
|
Mnyama aina
ya Sitatunga (Nzohe) ambaye anapatikana katika hifadhi ya kisiwa cha Rubondo
pekee kati ya hifadhi zote 16 Tanzania,akiwa ndani ya hifadhi hiyo ya Rubondo.
|
![]() |
|
Baadhi ya
Mitumbwi pamoja na nyavu zinazokamatwa na askari wa hifadhi ya Kisiwa cha Rubondo wakati wa msako wa
majangili wa Samaki katika Hifadhi hiyo.
|
Hifadhi ya
Kisiwa cha Rubondo ambayo sehemu yake kubwa iko Mkoani Geita huku sehemu ndogo
ya eneo lake ikiwa katika mikoa miwili ya Mwanza na Kagera.


.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)



No comments:
Post a Comment