![]() |
|
Vikosi vya
usalama wakiwazuia waandamanaji mjini Benni walokuwa wanadai uchunguzi wa kina
katika mauwaji ya Kanali Mamadou Ndala.
|
![]() |
|
Wanawake
wakiandamana Benni kulalamiika mauwaji ya Kanali Mamadou Ndala Jan, 03 2014.
|
![]() |
|
Waandamanaji
katika njia kuu ya Beni kulaani mauwaji ya Kanali M. Ndala aliyewamaliza
wapiganaji wa M23, na kuanza kuwasaka wapiganaji wa makundi mengine ya waasi.
|
![]() |
|
Kanali
Mamadou Ndala komanda wa kikosi maalum cha jeshi la Congo linalowasaka waasi mashariki mwa nchi
DRC.
|
![]() |
|
Colonel
Mamadou Ndala akiongozana na wanajeshi wa Kongo kuwasaka wapiganaji wa AFD Nalu.
|
![]() |
|
Rais Joseph Kabila
pamoja na Gavana wa Kivu Kaskazini Julien Paluku mjini Goma.
|
![]() |
|
Wanajeshi wa
FARDC wakiwa katika msitu wa Virunga wakisubiri katika kuwasaka wapiganaji wa
AFDL Nalu.
|
![]() |
|
Ndege ya
Drone ya Umoja wa Mataifa huko Mashariki ya Congo.
|
![]() |
|
Wanajeshi wa
jeshi la taifa la Congo waelekea kutayarisha mpango wa kuwashambulia waasi wa
AFDL Nalu….Picha Na:-VOA.
|

















No comments:
Post a Comment