Ile hukumu ya rufaa ya mwanamuziki Babu Seya na Mwanaye Papii Kocha imewarejesha tena Jela Maisha. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Thursday, November 21, 2013

Ile hukumu ya rufaa ya mwanamuziki Babu Seya na Mwanaye Papii Kocha imewarejesha tena Jela Maisha.




Mwanamuziki Nguza Viking na mwanaye Johnson Nguza 'Papii Kocha'.


Ile hukumu ya rufaa ya mwanamuziki Nguza Viking na mwanaye Johnson Nguza 'Papii Kocha' imewarejesha jela maisha baada ya hoja za serikali za kukazia hukumu kuzidi zile za upande wa utetezi.

Babu Seya na Papii Kocha walihukumiwa kifungo cha maisha jela mwaka 2004 baada ya kupatikana na hatia ya kuwanajisi watoto wa Shule ya Msingi, Mashujaa, Sinza jijini Dar es Salaam ambapo wamekuwa wakikata rufaa mara kwa mara lakini wakagonga mwamba.

Hukumu hii ya rufaa ndiyo ya mwisho kusikilizwa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad