Lori la
Kampuni ya Ivory lenye namba T 280 ADK lililogongana uso kwa uso na Basi la Sai
baba eneo la Kibwabwa katika barabara kuu ya Mbeya - Iringa jana na watu zaidi
ya watatu kujeruhiwa vibaya.
|
Abiria
waliokuwa kwenye basi la sai baba. Chanzo:- Francis Godwin
|





No comments:
Post a Comment