Ligi kuu Uingereza:-Arsenal sasa Kileleni huku Bingwa mtetezi Manchester United akiburuzwa 4 – 1 na Manchester City. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Sunday, September 22, 2013

Ligi kuu Uingereza:-Arsenal sasa Kileleni huku Bingwa mtetezi Manchester United akiburuzwa 4 – 1 na Manchester City.




Wenger:
There's even more to come from Ozil.
Ligi kuu soka nchini Uingereza msimu wa 2013/2014 imeendelea tena leo(Septemba 22,2013) ambapo katika mchezo wa mapema  Arsenal iliifunga Stoke City Bao 3-1 na kujiimarisha  kileleni huku Timu ya  Swansea City ikishinda Ugenini.


Mchezaji wa bei kubwa wa Arsenal,Mesut Ozil alichangia Bao zote 3 walizofunga Arsenal kwenye Mechi waliyoitwanga Stoke City Bao 3-1 na kuwafanya  huo kuwa  ni ushindi wao wa 7 mfululizo.

Aaron Ramsey ndie aliefunga Bao la kwanza na hilo ni Bao lake la 7 katika Mechi 8 kwa Arsenal.

Stoke walisawazisha kabla Haftaimu kwa Bao la Geoff Cameron lakini Arsenal wakaongeza Bao 2 kupitia Per Mertesacker na Bacary Sagna kufuatia frikiki za Mersut Ozil.
 
Arsenal.
Ushindi huu umewafanya Arsenal wakae kileleni mwa Ligi wakiwa na Pointi 12 kwa Mechi 5 lakini hii leo Tottenham wanaweza kuwapiku Arsenal wakishinda Mechi yao ya Ugenini dhidi ya Cardiff City.

Nao Swansea  wakicheza Ugenini, walitamba huku Straika wao Michu akiwa moto na kuitwanga Crystal Palace Bao 2-0.

Michu alifunga Bao la kwanza baada ya Sekunde 80 tu baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Jonjo Shelvey.

Michu pia alichangia kwa Timu yake Swansea kupata Bao la Pili lililofungwa na Nathan Dyer.

Kipigo hiki kimewafanya Crystal Palace wabaki kwenye zile Timu 3 za mkiani.

LIGI KUU ENGLAND RATIBA/MATOKEO:-2013/2014.


Manchester City.
Jumapili 22 Septemba 2013.

Arsenal 3 – 1 Stoke City



Crystal Palace 0 – 2  Swansea City



Cardiff City 0 - 1 Tottenham Hotspur



Manchester City 4 -  1 Manchester United






2013-2014 Barclays Premier League Table
Overall
Home
Away
POS
TEAMPWDLFA
WDLFA
WDLFA
GDPts
1 Arsenal 5 4 0 1 11 6
2 0 1 5 4
2 0 0 6 2
5 12
2 Tottenham Hotspur 5 4 0 1 5 1
2 0 0 3 0
2 0 1 2 1
4 12
3 Manchester City 5 3 1 1 12 4
3 0 0 10 1
0 1 1 2 3
8 10
4 Chelsea 5 3 1 1 6 2
3 0 0 6 1
0 1 1 0 1
4 10
5 Liverpool 5 3 1 1 5 3
2 0 1 2 1
1 1 0 3 2
2 10
6 Everton 5 2 3 0 6 4
1 1 0 1 0
1 2 0 5 4
2 9
7 Southampton 5 2 2 1 3 2
0 2 0 1 1
2 0 1 2 1
1 8
8 Manchester United 5 2 1 2 7 6
1 1 0 2 0
1 0 2 5 6
1 7
9 Swansea City 5 2 1 2 7 7
0 1 1 3 6
2 0 1 4 1
0 7
10 Stoke City 5 2 1 2 4 5
1 1 0 2 1
1 0 2 2 4
-1 7
11 Hull City 5 2 1 2 5 7
1 1 0 2 1
1 0 2 3 6
-2 7
12 Newcastle United 5 2 1 2 5 8
1 1 1 3 3
1 0 1 2 5
-3 7
13 Aston Villa 5 2 0 3 6 6
0 0 2 1 3
2 0 1 5 3
0 6
14 West Ham United 5 1 2 2 4 4
1 0 2 4 4
0 2 0 0 0
0 5
15 West Bromwich Albion 5 1 2 2 4 4
1 0 2 3 3
0 2 0 1 1
0 5
16 Cardiff City 5 1 2 2 4 6
1 1 1 3 3
0 1 1 1 3
-2 5
17 Norwich City 5 1 1 3 3 6
1 1 1 3 3
0 0 2 0 3
-3 4
18 Fulham 5 1 1 3 3 7
0 1 1 2 4
1 0 2 1 3
-4 4
19 Crystal Palace 5 1 0 4 4 8
1 0 2 3 4
0 0 2 1 4
-4 3
20 Sunderland 5 0 1 4 3 11
0 0 2 1 4
0 1 2 2 7
-8 1











































No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad