![]() |
| Klabu ya Arsenal wamejikita kileleni mwa Ligi Kuu Uingereza baada ya kuifunga Swansea City Ugenini huko Liberty Stadium Bao 2-1 na wako Pointi 2 mbele ya Timu ya Pili Tottenham. |
Baada Mechi
6, Arsenal sasa wana Pointi 15 na
kumfanya Kocha wao Arsene Wenger afurahie
miaka 17 ya kuwa kazini kama kocha wa
Arsenal kwa ushindi wa mabao 2-1 katika Ligi Kuu jana (Septemba 28,2013) dhidi
ya Swansea Uwanja wa Liberty.
Shukrani
kwao, Aaron Ramsey na kinda Serge Gnabry waliofunga mabao hayo, huo ukiwe
ushindi wa 12 mfululizo kwa Gunners katika mashindano yote.
Swansea
ilipata bao lake kupitia kwa Ben Davies dakika ya 82, baada ya Gnabry kufunga
dakika ya 58 na Ramsey dakika ya 62.
Unaweza sema
Huu ni mwanzo mzuri kwa Arsenal hasa baada ya Jana, Vigogo wengine kupoteza
mwelekeo kwa Tottenham na Chelsea kutoka Sare na Manchester United na Manchester
City zote kufungwa.
MATOKEO YA LIGI
KUU UINGEREZA 2013/2014.
Jumamosi 28
Septemba,2013.
Tottenham
Hotspur 1 Chelsea 1
Aston Villa
3 Manchester City 2
Fulham 1
Cardiff City 2
Hull City 1
West Ham United 0
Manchester
United 1 West Bromwich Albion 2
Southampton
2 Crystal Palace 0
Swansea City
1 Arsenal 2
| 1 | ARSENAL FC | 6 | 15 | |
| 2 | TOTTENHAM HOTSPUR FC | 6 | 13 | |
| 3 | CHELSEA FC | 6 | 11 | |
| 4 | SOUTHAMPTON FC | 6 | 11 | |
| 5 | MANCHESTER CITY FC | 6 | 10 | |
| 6 | LIVERPOOL FC | 5 | 10 | |
| 7 | HULL CITY AFC | 6 | 10 | |
| 8 | EVERTON FC | 5 | 9 | |
| 9 | ASTON VILLA FC | 6 | 9 | |
| 10 | WEST BROMWICH ALBION FC | 6 | 8 | |
| 11 | CARDIFF CITY FC | 6 | 8 | |
| 12 | MANCHESTER UNITED FC | 6 | 7 | |
| 13 | SWANSEA CITY AFC | 6 | 7 | |
| 14 | STOKE CITY FC | 5 | 7 | |
| 15 | NEWCASTLE UNITED FC | 5 | 7 | |
| 16 | WEST HAM UNITED FC | 6 | 5 | |
| 17 | NORWICH CITY FC | 5 | 4 | |
| 18 | FULHAM FC | 6 | 4 | |
| 19 | CRYSTAL PALACE FC | 6 | 3 | |
| 20 | SUNDERLAND AFC | 5 | 1 |






No comments:
Post a Comment