Tazama Mkutano wa Mkurugenzi wa Usalama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), Wilfred Lwakatare Viwanja vya Uhuru Mjini Bukoba. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, June 19, 2013

Tazama Mkutano wa Mkurugenzi wa Usalama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), Wilfred Lwakatare Viwanja vya Uhuru Mjini Bukoba.


Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Muganyizi Lwakatare akisalimiana na mmoja wa wafuasi wake waliojitokeza leo (Juni 19,2013) katika Mkutano wake wa  hadhara uliofanyika katika uwanja wa Uhuru mjini Bukoba.


Umati mkubwa wa Wafuasi ,Wapenzi na Wanachama wa CHADEMA, Waliojitokeza kumsikiliza Lwakatare leo (Juni 19,2013) katika Mkutano wake wa  hadhara uliofanyika katika uwanja wa Uhuru mjini Bukoba.


Aidha Kumbuka  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam  ilikubali kumwachia Mkurugenzi wa Usalama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema),  Wilfred Lwakatare kwa dhamana ya Shilingi 10Milioni  l(Juni 11,2013).




Wilfred  Lwakatare   anakabiliwa na kesi ya kujaribu kumwekea sumu Dennis Msaki. 


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad