VIDEO: Mlipuko wa Bomu Arusha katika Mkutano wa Chadema 15 june,2013. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, June 19, 2013

VIDEO: Mlipuko wa Bomu Arusha katika Mkutano wa Chadema 15 june,2013.


Moto  ukiwaka katikati ya barabara wakati wa vurugu zilizotokea katika viwanja vya SOWETO mjini Arusha.




Video hii ni sehemu ya kwanza tu inayoonyesha kabla na baada ya bomu kulipuka hali ilivyokua bila kuonyesha ni nani aliyelipua.




Ni video ya dakika 4:19.Hivi ndivyo maisha ya watanzania wenzetu yalivyokatishwa kikatili.




Kwa Mujibu wa  Mkuu wa Operesheni wa Polisi, Kamishna Paul Chagonja amesema watu watatu wamekamatwa wakihusishwa na tukio la kulipuliwa kwa bomu mkoani Arusha.





Amesema watuhumiwa hao wanahojiwa na polisi na watafikishwa mahakamani muda wowote ushahidi wa kutosha utakapopatikana au kuachiwa huru wakigundulika kutokuhusika.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad