Update za Msiba wa Mwanamuziki Albert Mangwea(28) maarufu kama `Ngwair’ na Maendeleo ya Msanii M2 the P. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Friday, May 31, 2013

Update za Msiba wa Mwanamuziki Albert Mangwea(28) maarufu kama `Ngwair’ na Maendeleo ya Msanii M2 the P.


Msanii Albert Kenneth Mangwair enzi za uhai wake.


-Msanii M2 the P anaendelea vizuri, leo ameweza kuongea na ametolewa ICU kupelekwa wodini.



-Mwili wa Albert Kenneth Mangwair unatarajiwa kuwasili jijini Dar Jumamosi Juni 1, 2013 na kuhifadhiwa katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili.



-Ngwair anatarajiwa kuagwa siku ya Jumapili katika Viwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar.



-Msanii Bushoke alaani watu wanaotoa taarifa zisizo sahii kuhusu sababu za kifo cha Ngwair.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad