![]() |
| Arsenal |
Bao la
ushindi kwa Arsenal lilifungwa na Per Mertesacker kwa kichwa katika Dakika ya
43.
Arsenal nao
walimaliza Mechi hii kwa kuwa Mtu 10 baada ya Straika wao Olivier Giroud kupewa
Kadi Nyekundu kwa rafu mbaya.
Lakini
matokeo mengine ya Mechi za leo ni balaa kwa Reading na QPR ambazo Jumatatu
Usiku zitashushwa Daraja ikiwa Aston Villa itaifunga Manchester United Uwanjani
Old Trafford.
Katika
mchezo wao Reading, Timu ya mkiani, imekaribia zaidi kushuka Daraja baada ya
kutandikwa Bao 2-1 na Norwich City ambao walipiga Bao zao 2 ndani ya Sekunde
90.
Jumamosi
Aprili 20,2013.
Fulham 0
Arsenal 1
Norwich 2
Reading 1
QPR 0 Stoke
2
Sunderland 1
Everton 0
Swansea 0
Southampton 0
West Brom 1
Newcastle 1
West Ham 2
Wigan 0
MSIMAMO
NA
|
TIMU
|
P
|
GD
|
PTS
|
1
|
Man
Utd
|
33
|
40
|
81
|
2
|
Man
City
|
32
|
31
|
68
|
3
|
Arsenal
|
34
|
30
|
63
|
4
|
Chelsea
|
32
|
31
|
61
|
5
|
Tottenham
|
32
|
15
|
58
|
6
|
Everton
|
34
|
13
|
56
|
7
|
Liverpool
|
33
|
19
|
50
|
Jumapili
Aprili 21,2013.
Saa 9 na
Nusu Mchana
Tottenham v Man
City
Saa 12
Jioni
Liverpool v
Chelsea
Jumatatu
Aprili 22,2013.
Saa 4
Usiku
Man United v Aston
Villa






No comments:
Post a Comment