Bayern Munich yamtandika 4 – 0 FC Barcelona katika hatua ya Nusu fainali ya UEFA Champions League . - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Tuesday, April 23, 2013

Bayern Munich yamtandika 4 – 0 FC Barcelona katika hatua ya Nusu fainali ya UEFA Champions League .


Bayern Munich took a massive step towards the Champions League final with an incredible 4-0 thrashing of Barcelona in the first leg of their last four clash at the Allianz Arena on Tuesday.



Dk 90  Bayern Munich 4 - 0 Barcelona.
Thomas Muller  dk 25'
Mario Gomez dk 49'
Arjen Robben  dk 73'
Thomas Muller  dk 82'


MARUDIANO

Jumanne Aprili 30 

Real Madrid v Borussia Dortmund

Jumatano Mei 1

Barcelona v Bayern Munich

FAINALI

25 Mei 2013

Uwanja wa  WEMBLEY, London.



Aidha  Jumatano (April 24,2013) Usiku  ndani ya Uwanja wao Signal Iduna Park, Borussia Dortmund wanaikaribisha Real Madrid kwenye Mechi  nyingine ya kwanza ya Nusu Fainali ya UEFA  Champions League.





Borussia Dortmund

v/s

Real Madrid
Borussia Dortmund na Real Madrid zimeshakutana mara mbili Msimu huu kwenye UEFA  Champions League  msimu huu ambapo walipokuwa Kundi moja na Borussia Dortmund, ikicheza Nyumbani, ilishinda 2-1 na kutoka sare 2-2 huko Santiago Bernabeu.





Kama walivyo Dortmund kwa kupoteza Ubingwa wao wa Nyumbani, Madrid nao wako hatua za mwisho kupokonywa Taji lao na Mahasimu wao wakubwa FC Barcelona na UEFA  Champions League  pamoja na Copa del Rey, ndio Mataji pekee wanayoweza kutwaa Msimu huu.





Wakati Dortmund wana Kikosi chao kamili cha kuchagua Timu, Real Madrid watamkosa Fulbeki wao Alvaro Arbeloa ambae yuko Kifungoni  hivyo watalazimika kumchezesha Sergio Ramos kama Beki wa kulia na Masentahafu kuwa Pepe na Raphael Varane huku Fulbeki wa kushoto kucheza Coentrao.




No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad