Hivi
karibuni Bibi Mtiti aliionya Serikali juu ya mpango wake wa kusafirisha gesi
ghafi kwenda Dar es Salaam kwa madai iwapo itapuuza onyo hilo bomba hilo
litasafirisha maji badala ya gesi iliyokusudiwa.
Kamanda wa
Polisi wa Mkoa wa Mtwara, Maria Nzuki alisema hana taarifa zozote kuhusiana na
tukio hilo kwa kuwa mhusika hajakwenda polisi kulalamika.
Kwa mujibu
wa wanakijiji hao, mtu huyo ambaye ana asili ya kijiji hicho waliyemtambua
(jina linahifadhiwa) aliwasili kijijini hapo jana saa 10 jioni akiwa na gari
dogo aina ya Mark II na kwenda nyumbani kwa shangazi yake.
Habari zaidi soma:http://www.mwananchi.co.tz
No comments:
Post a Comment