uchaguzi wa
Meya wa Ilemela umeahirshwa katika
mazingira tata, baada ya Mkurugezni kusoma Amri ya Mahakama iliyopewa tafsiri
na mwanasheria wa jiji kuwa inakifanya kikao hicho kuahirishwa kwa kuwa Diwani
wa Chadema Matata (pia alifukuzwa uanachama pamoja na wa igoma na anaendelea na
udiwani kwa amri ya makahama) kuleta pia barua ya kutaka atambuliwe kama
mgombea.
Ukazuka
ubishi kidogo juu ya hoja ya mgombea kuteuliwa na chama, mkurugenzi wa jiji
akasema hiyo siyo sheria ni mwogozo, na kwa kuwa sheria na mwongozo zikigongana
sheria ndiyo inatamalaki hatakia aingie katka mgogoro wa tafsiri ya sheria,
akaahirisha kikao bila hata madiwani kujadili hoja hiyo.
Kwa mujibu
wa mwanasheria wa wa Chadema, pingamizi hilo lilikuwa linawarejeshea haki yao
ya uanachama na hivyo kuendelea na udiwani wao, na kutaka Matata asizuiliwe
kuendelea na mchakato wa kuomba umeya, Kwa hiyo matata ameomba lakini
hakuteuliwa na chama na mahakama haiwezi kuwalazimisha chama wateue mgombea kwa
amri ya mahakama.
Na Deus Buganywa.
|
No comments:
Post a Comment