|
Zao
la ndizi pamoja na kuwa ni zao la chakula pia huwapatia wakulima kipato kwani
huuzwa katika masoko ya nje ya wilaya na mikoa jirani kama Mwanza na Shinyanga.
Pia zao hili huwapatia wakulima kipato wanapotengeneza pombe ya kienyeji .Picha zote na Hellen Magambo-Ngara.
|
Monday, September 17, 2012
Home
MATUKIO
Tazama jinsi wafanyabiashara wa zao la Ndizi wilayani Ngara mkoani Kagera sehemu wanayouzia zao hilo ambalo ni chakula kikuu.
Tazama jinsi wafanyabiashara wa zao la Ndizi wilayani Ngara mkoani Kagera sehemu wanayouzia zao hilo ambalo ni chakula kikuu.
Tags
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Labels:
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.





No comments:
Post a Comment